Dalili ya mvua ni mawingu basi kama ni hivyo hakuna mvua bila mawingu tahadhari kabla ya hatari na mzahamzaha husababisha ajali.
TMA imetoa tahadhari kwa wakazi wa maeneo ya Ukanda wa Pwani kwani mvua kubwa zinatarajiwa kunyesha kuanzia hivi karibuni
Taarifa hio imesema maeneo yanayotarajiwa kupata mvua kubwa ni Dar es Salaam, Pwani, Tanga na Visiwa vya Unguja na Pemba.
No comments:
Post a Comment