Saturday, May 12, 2018

UWANJA KUMUONDOA HARRY KANE TOTTENHAM


Kuna uwezekano mkubwa wa mchezaji wa Tottenham Harry Kane   kutambuka  ili kufidia ufadhiri  ujenzi wa uwanja 


Kwa mujibu wa Mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger anasema kuwa wapinzani wao wa London watalazimika kumuuza mshambuliaji wa Uingereza Harry Kane 24 ili kufadhili ujenzi wa uwanja wao mpya.

No comments: