Thursday, July 27, 2017

27 july 2017 , NEC yateua wabunge nane CUF

Tume ya Uchaguzi (NEC) imefanya uteuzi wa wabunge nane wa viti Maalum kupitia (CUF) baada ya Tume hiyo kupokea barua kutoka kwa spika wa Bunge Ndugai ambaye alisema kuna nafasi za wazi nane katika bunge hilo kufuatia wabunge hao kuvuliwa uanachama

No comments: