Wednesday, May 2, 2018

WENGER AUMIZA WAKUFUNZI VICHWA

Nafasi ya Arsene  Wenger yaumiza wakufunzi vichwa baada ya Naibu mkufunzi wa Liverpool Zeljko Buvac kupigiwa upatu kumrithi  Wenger .
Arsenal huenda isimlipe mkufunzi wake mpya zaidi ya kitita cha £8.5m ambacho mkufunzi wake Arsene Wenger alikuwa akipata kwa mwaka (Daily Mail)

No comments: