Jeshi la Polisi nchini Uganda limenasa kundi jingine la kigaidi linalojihusisha kutoa mafunzo kwa watoto chini ya miaka 18 katika mtaa wa kisenye kati kati mwa Kampala
polisi wameharifu kuwa katika oparesheni hio wameuwa washukiwa wawili na wengine thelathini na sita kutiwa nguvuni
Kundi hilo linalohusishwa kuwa na uhusiano na kundi ABF lililopo katika misitu ya Kongo limeweka kambi kwenye msikiti wa soko liitwalo usafi
wananchi waliokataa kuanika majina yao kutokana na kuhofia usalama wameharifu kuwa polisi wamekuwa wakipuuzia malalamiko yao
mwanamke mmoja Rahma Natumbwe ameleza kuwa mumewe Senunu Abubakar alipotea zaidi ya miezi minne hadi polisi ilipohujumu kambi hio ya magaidi
kwa miaka miwili sasa vitendo vya kuteka watu nyara wa aina mbali mbali vimekithiri mjini Kampla Uganda ambapo mateka wanateswa na kuuwawa
polisi wameharifu kuwa katika oparesheni hio wameuwa washukiwa wawili na wengine thelathini na sita kutiwa nguvuni
Kundi hilo linalohusishwa kuwa na uhusiano na kundi ABF lililopo katika misitu ya Kongo limeweka kambi kwenye msikiti wa soko liitwalo usafi
wananchi waliokataa kuanika majina yao kutokana na kuhofia usalama wameharifu kuwa polisi wamekuwa wakipuuzia malalamiko yao
mwanamke mmoja Rahma Natumbwe ameleza kuwa mumewe Senunu Abubakar alipotea zaidi ya miezi minne hadi polisi ilipohujumu kambi hio ya magaidi
kwa miaka miwili sasa vitendo vya kuteka watu nyara wa aina mbali mbali vimekithiri mjini Kampla Uganda ambapo mateka wanateswa na kuuwawa
No comments:
Post a Comment