Kuna uwezekano mkubwa wa beki wa Brazil David Luiz, (31) kuelekea Napoli iwapo Rafael Benitez atarudi katika uwanja wa San Paolo kuchukua mahala pake .
Pia Kiungo wa kati wa zamani wa Liverpool Steven Gerrard ataweza kukabili shinikizo iwapo ataajiriwa kuwa mkufunzi mpya wa klabu ya Rangers , kulingana na mchezaji mwnza wa zamani Frank Lampard. (Talksport)
No comments:
Post a Comment