Wednesday, May 16, 2018

MSHAHARA KUWAKIMBIZA WARITHI WA WENGER

Imebainika  kuwa mshahara uliotengwa kwa ajiri  ya meneja  atakaerithi nafasi ya  Arsene Wenger  kuwa mdogo hali inayopelekea  hofu kwa mameneja wanopigiwa upatu wa kurithi nafasi hio.


Kwa mujibu wa    (Sky Sports) Nahodha wa zamani wa Arsenal Patrick Vieira, (41) anasema amekasirishwa mshahara ulionukuliwa na klabu hiyo baaada ya kuzungumziwa kuhusu nafasi ya umeneja iliyo wazi. 

No comments: