Tuesday, May 15, 2018

ARTETA ACHUKUWA MIKOBA YA WENGER

Waswahili wanasema  lisemwalo lipo  na kama halipo laja  kumekuwa  majina ya wakufunzi  wanaotajwa kumrithi  Arsene Wenger  ina wezekana upatu huo kumuangukia    Arteta.


Kwa mujibu wa Afisa mkuu mtendaji wa Arsenal Ivan Gazidis na mkrugeni mkuu Josh Kroenke wamemtambua kiungo wa kati wa zamani wa Arsenal Mikel Arteta ambaye sasa ni kocha huko Manchester City kama mtu anayeweza kuchukua mahala pake Arsene Wenger kama meneja wa Arsenal. 

No comments: