Tuesday, May 22, 2018

MAHREZ NA MAN CITY NI MOTO

Manchester City  hawajakata tamaa katika mapambano ya kuinasa saini ya  winga wa Leicester Riyad Mahrez ,(27)


Hii imekuja baada ya uhamisho wa Mahrez kuelekea kaskazini Maghribi uligonga mwamba kutokana na ugumu wa malipo ya ada kwa ajenti wake.

No comments: