Friday, May 18, 2018

KIBA -ABBY SKILLS HAYUPO KINGS MUSICS

Alikiba amebainisha kuwa  msanii mkongwe nchini  Abby Skills kuwa hayupo tena chini ya lebo yake Kings musics .


Kiba ameweka wazi kupitia mahojiano aliyoyafanya hii leo na kituo kimoja cha radio nchini “Kuhusu Abby  nilifanya hilo nimuown  lakini nitakuwa sijamtendea haki nikaamua   afanye  kazi mwenyewe ajitegemee   lakini nitamsaidia mimi kama mimi “,.

 “Nilipokaa nikafikiria kwa mtu aliyenitoa  alafu nimiliki sio vizuri’’,.

Pia Kiba ameweka wazi kuurudia wimbo wake wa myeverything ‘’Nitaurudia ule baadae katika mahadhi flani ambayo watu wataelewa napenda nn kwenye ule wimbo’’,.

No comments: