Friday, May 18, 2018

NEYMAR AREJEA UWANJANI

Mshambuliaji  wa Paris St-Germain  na nyota wa Brazil Neymar, 26, amerejea mazoezi baada ya kupata jeraha mwezi Februari .

Nyingine ni ya Mshambuliaji wa Manchester City Sergio Aguero, 29, amesema anatarajia tu kucheza na nyota wa Barcelona Lionel Messi katika kikosi cha Argentina,

No comments: