Kiungo nguli wa soka duniani ,raia wa Hispania na kiungo wa muda Barcelona Andres Iniesta ameweka wazi kujiunga na ligi ya Kijapani baada ya kumaliza kutoa huduma Barka kwa miaka 22
Iniesta ameweka wazi kupitia ukurasa wake wa Twitter kwamba adventure yake ijayo itakuwa Japan
Baada ya kusaini mkataba wake na klabu yake mpya ya Vissel Kobe, Iniesta atajiungana na kikosi cha Hispania Jumatatu ijayo ili kuanza maandalizi ya Kombe la Dunia nchini Urusi.
No comments:
Post a Comment