Monday, May 21, 2018

GUARDIOLA KUMNYAKUWA HAZARD

Mabingwa wa EPL  Man City wanaendelea kuimarisha kikosi chao kinachochuliwa na Mhispania  Pep Guardiola   kwa kutafuta saini za  nyota mbali mbali katika ligi hio .


Guardiola  ameweka wazi kuwa City wanampango wa kumsajili kiungo wa kati wa Chelsea Eden Hazard,27, kwa mkataba wa £100m 

Pia  meneja huyo amebainisha kumuweka mchezaji huyo kuwa kiungo muhimu anayemlenga wakati wa uhamisho.

No comments: