Kuna uwezekano mkubwa wa kiungo wa Man United Marouane Fellaini kujiunga na vilabu vya Monaco,,Marseille wakati wowote
Kwa mujibu wa (Sunday People) Maisha ya kiungo huyo ndani ya United yanaonekana kufika mwisho baada ya mchezaji huyo kuhama katika nyumba yake Cheshire,
No comments:
Post a Comment