Wednesday, May 2, 2018

FAHAMU USIO YAJUA KUHUSU WIMBO MPYA WA OMMY DIMPOZ YANJE'

Baada ya Cheche jana Rockstar Africa imeachia kazi mpya  ya   Ommy Dimpoz  aliyomshirikisha mwanadada  Seyi Shay kutoka Nigeria  inayokwenda kwa jina la Yanje'.

 Yanje' ni kazi ya pili ya  Ommy Dimpoz iliyotolewa rasmi chini ya rekodi yake ya kimataifa  ROCKSTAR AFRIKA "ni wimbo wenye  lugha 3 - Rwanda, Swahili na Kiingereza. 

Pia  Mofaya kinyawaji chenye   Nishati   ni bidhaa ya kwanza ya Alikiba, ambayo itakuwa katika soko mwishoni mwa mwezi huu.

No comments: