Kunauwezekano wa mwanasaisa wa upinzani nchini Kenya Miguna Miguna anayekumbwa na utata kuwa naibu gavana wa Nairobi .
Hii imekuja baada ya Gavana wa mji mkuu wa Kenya Nairobi Mike Mbuvi Sonko kumpendekeza Miguna katika nafasi hio
Kutokana na barua akioituma Bw:Sonko haikutarajiwa siku ya Jumatano jioni kwa kwa spika wa bunge la kaunti ya Nairobi, akisema Miguna Miguna ametimiza matakwa yote yanayohitajika kikatiba.
Barua hiyo imekuwa ikisambaa kwenye mitandao ya kijamii na kuzua maoni mengi kutoka kwa Wakenya, kutokana na kuwa uteuzi wake umekuja wakati ambao haukutarajiwa.
No comments:
Post a Comment