Tuesday, May 1, 2018

1 MAY 2018,WENGER ATOA MUALIKO KWA WACHEZAJI HAWA

Ikiwa  ni muda mchache  baada ya Meneja wa Arsenal,  Aresne Wenger kutangaza kuondoka mwishoni mwa msimu huu  baada ya kuitumiakia Arsenal kwa muda wa miaka 22  amewaalikia wachezaji hawa  kusherehekea muda alioitumikia  klabuni hapo

Kwa mujibu wa(Mail) Wenger   amebainisha  kuwa  Thierry Henry na Tony Adams ni miongoni mwa watu mashuhuri 100 wa Arsenal ambao wamealikwa kwa mechi ya mwisho ya Wenger nyumbani, ambapo watasherehekea miaka 22 ya Mfaransa huyo katika klabu hiyo. 
Thierry Henry na Tony Adamsption


No comments: