Mwanafunzi wa Ualimu ngazi ya Stashahada Chuo Kikuu Cha Kiiskamu Morogoro amefariki baada ya kudondoka milimani alipokwenda kutembea na wenzie
Kwa mujibu wa mmoja wa walimu chuoni hapo mwanafunzi huyo alifahamika kwa jina la Victor Makola mwenye umri usio pungua miaka 20 mkazi wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza .
Maiti iko Hospitali ya Mkoa Morogoro
No comments:
Post a Comment