KOCHA wa Singida United,Hans Van Pluijm amesema ili kupata pointi tatu dhidi ya Azam FC ni lazima wachezaji wake wacheze kwa kiwango cha juu.
Kocha huyo alisema wanafahamu rekodi ya Azam kutoruhusu bao lolote mpaka sasa hivyo ni lazima washambuliaji wake wafanye kazi ya ziada ili kuvunja ukuta wao.
"Ili ushinde mechi unatakiwa kufunga mabao, na hilo halijalishi unacheza na timu ya aina gani. Azam hawajaruhusu bao lakini kama tunataka kushinda ni lazima tuwafunge," alisema.
No comments:
Post a Comment