Kisiwa cha Zanzibar ni kisiwa kilichojaaliwa na maliasili ya kila namna.
Kisiwa hicho ni sehemu ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Kisiwa cha Zanzibar huvutia watalii wengi ulimwenguni hasa kutokana na miundominu yake ya kipekee na utandawazi ulioletwa na waarabu,wazungu,wahindi na waafrika wenyewe.
Mahanjumati na wanyama kisiwani humo ni kati ya vitu vinavyokiongezea kisiwa hicho umaarufu.
No comments:
Post a Comment