Saturday, August 12, 2017

12 August 2017, Idadi ya watu waliofariki katika ajali Misri yazidi kuongezeka

Watu zaidi ya 30 wafariki katika ajali ya treni iliotokea Alexandria nchini Misri

Watu 36 wameripotiwa kuafariki katika ajali iliotokea mjini Alexandria nchini Misri.

Wizara ya afya ya Misri imetangaza watu 36 wamefariki katika ajali ya treni mbili ambazo ziligongana majira ya mchana .

Watu wengine zaidi ya 123 wamejeruhiwa katika ajali hiyo.

No comments: