Tume ya uchaguzi nchini Kenya imemtangaza rasmi rais Uhuru Kenyatta kuwa mshindi katika uchaguzi mkuu ulifanyika Agosti 8 mwaka 2017.
Tume ya uchaguzi imetangaza rasmi kuwa Uhuru amepata asilimia 54,2 ya kura huku mpinzani wake Raila Odinga akiwa na asilimia 44,7 ya kura.
No comments:
Post a Comment