Monday, May 28, 2018

ZIDANE -SIKUONGEA NA BALE MASAA 4

Meneja w Real Madrid   Zinedine Zidane ameweka wazi kuwa hakuzungumza na Bale  kwa zaidi ya saa nne baada ya fainali ya ushindi wa Ligi ya dhidi ya Liverpool.

Nyingine  Cristiano Ronaldo, mwenye umri wa miaka 33, anajiandaa kurejea Manchester United.

No comments: