Thursday, May 10, 2018

NEYMAR AINASA SAIN MADRID

Sio kila kisichoriziki  hakiliki  muda mwingine juhudi zaweza kwani   hata mende huangusha kabati  Neymar  hajakata tamaa ya kuitafuta saini Real Madrid 


Kwa mujibu wa (AS, via Express).  Mshambuliaji wa Paris St-Germain Neymar , 26, alifanya mazungumzo ya siri na Real Madrid mnamo mwezi Machi

Pia  Mchezaji huyo wa Brazil amedaiwa kutaka kuondoka mjiini Paris

No comments: