Saturday, May 12, 2018

MANARA -KUSHANGILIA LEO

Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano klabu ya Simba, Haji Manara, ameeleza kuwa  atawapigia simu bodi ya  TFF ili wamruhusu ashangilie leo.

Manara amesema hayo baada ya kupewa  onyo la kungia Uwanjani , kuanza kushangilia  mchezo uliopita dhidi ya mahasimu wao Yanga

Aidha  ameeleza  kuwa atafanya hivyo ili furaha yake isipotee kwa maana itakuwa ngumu kujizuia endapo Simba itapata matokeo dhidi ya Singida United.

Wekundu wa msimbazi ,Simba watakuwa  na kamba mguuni  kwenye Uwanja wa Namfua mjini Singida kukipiga na walima alizeti h

No comments: