Wednesday, May 30, 2018

BALE KUMFUATA SALAH

Mashetani wekundu  wapo tayari kutoa  Euro milioni 140m kwa Real Madrid kumnunua mchezaji wa safu ya kati Gareth Bale mwenye umri wa miaka 28 kutoka Wales. 

Manchester United na Chelsea wameonesha nia ya kutaka kumsajili Mhispania Jordi Alba mwenye umri wa miaka 29 anayeichezea Barcelona. 

No comments: