Monday, May 14, 2018

12 WAUAWA, 40 WAJERUHIWA KWA MABOMU- AFGHANISTAN

Watu wasiopungua 12 wamekufa , 36 kujeruhiwa kwa kushambuliwa mara mbili  nchini Afghanistani.

kwa mujibu wa Msemaji wa gavana wa mji wa  Jalalabad  ,Ataullah Hogyani amesema kuwa  mabomu yaliokuwa yametegwa mbele ya jengo la idara ya fedha mjini Jalalabad  yalilipuka na kusababisha maafa hayo. 
Taarifa za awali zinasema kuwa  walioendesha shambulio  hilo  walikamatwa.

No comments: