Manchester United italazimika kutoa kitita cha £40m pamoja na beki wa Uingereza mwenye umri wa miaka 22 ili kuweza kumununua beki mwenza wa Uingereza na Tottenham Danny Rose, 27, kutoka Tottenham.(Sun)
Mbali na Rose, mkufunzi wa Manchester United Jose Mourinho anataka kumsaini beki wa kulia mwisho wa msimu huu. (Guardian)
No comments:
Post a Comment