Meneja wa Manchester City Pep Guardiola atasaini mkataba wa mwaka mmoja zaidi kabla ya kumalizika kwa msimu huu. (Mirror)
Tottenham, Manchester United, Everton na Newcastle wanataka kusaini mkataba na mchezaji wa safu ya nyuma kushoto wa Southampton Muingereza Ryan Bertrand mwenye umri wa miaka 28. (Sun)
No comments:
Post a Comment