Mshambuliaji wa Manchester United Anthony Martial, mwenye umri wa miaka 22, amekataa mkataba wa miaka mitano na anataka kuondoka kwenye klabu hiyo msimu huu.
Martial angetaka kubakia Manchester United lakini meneja Jose Mourinho anaweza kumuona kama mchezaji mbadala huku Juventus, Paris St-Germain na Atletico Madrid wote wakimtaka mshambuliaji huyo wa Ufaransa (Independent)
Tottenham na Inter Milan pia wako makini na Martial ikiwa ataambiwa naweza kuondoka Old Trafford. (Telegraph)
No comments:
Post a Comment