Sunday, February 25, 2018

25 February 2018,WOLPER-Bongo Movie inarudi kwenye chati ya zamani

Msanii wa filam nchini Wolper amefunguka na kusema sio kweli Bongo movie imekufa bali ni ilikuwa imelega tu ila hivi sasa wamepata madirector wapya hivyo wanategemea kurudi Kwenye chati kama zamani

Ameandika haya hii leo kupitia ukurasa wake wa Instagram "Oya msituchukulie poa Bongo movie hii ndio class yetu na tunapeta kazi zinafanya zituweke mjini msidharau jamani…kwanza nasikia Bongo movie tumepata director mpya tutarudi tu chatini” .amesema

No comments: