Msanii wa filam nchini Wolper amefunguka na kusema sio kweli Bongo movie imekufa bali ni ilikuwa imelega tu ila hivi sasa wamepata madirector wapya hivyo wanategemea kurudi Kwenye chati kama zamani
Ameandika haya hii leo kupitia ukurasa wake wa Instagram "Oya msituchukulie poa Bongo movie hii ndio class yetu na tunapeta kazi zinafanya zituweke mjini msidharau jamani…kwanza nasikia Bongo movie tumepata director mpya tutarudi tu chatini” .amesema
No comments:
Post a Comment