Monday, February 19, 2018

19 February 2018,Vijiji vitatu vilivyokuwa vimetekwa na magaidi mpakani mwa Uturuki na Syria vyakombolewa na Jeshi la Uturuki

Jeshi laUturuki lakomboa vijiji vitatu kutoka mikononi mwa magaidi katika operesheni yake ya Tawi la Mzaituni ilioanzishwa kwa lengo la kuwaondoa magaidi mipakani mwa Uturuki na Syria.

Hacika, ni kijiji cha tatu kilichokombolewa na jeshi la Uturuki.

Katika operesheni nyingine ilionendeshwa Darmık, ngome za magaidi wa PKK/PYD zilishambuliwa.

No comments: