Bunge la Uturuki latolea wito ulimwengu mzima kutambua mji wa Jerusalem-Mashariki kama mji mkuu wa Palestina
Nyaraka uliokuwa na wito iliandaliwa na chama tawala cha AK kwa ushirikiano na chama cha upinzani cha CH na MHP ikitoa wito kwa ulimwengu mzima kuutambua mji wa Jerusalem -Mashariki kama mji mkuu wa Palestina.
Wito huo ulisomwa na Ayşenur Bahçekapılı.
Wito huo kwa ulimwengu kutambua mji wa Jerusalem-Mashariki kama mji mkuu wa Palestina umetolewa na kufahamisha kuwa mipaka iliowekwa mwaka 1967 na azimia la Umoja wa Mataifa ndio sahihi.
Mji wa Jerusalem-Mashariki umekaliwa kimabavu na Israel na kukiuka maazimia ya kimataifa kwa miaka 50.
No comments:
Post a Comment