Wednesday, November 29, 2017

29 November 2017,Makamu wa Rais amfariji Lissu hospitalini mjini Nairobi

Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan amemtembelea Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu anayepatiwa matibabu katika hospitali ya Nairobi nchini Kenya baada ya kujeruhiwa kwa risasi na watu wasiofahamika mkoani Dodoma. 
Makamu wa Rais amemtembelea Lissu baada ya kushiriki kuapishwa kwa Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta. 
Akizungumza na Makamu wa Rais Tundu Lissu amemwomba Makamu wa Rais afikishe salamu zake kwa Rais Dkt. John Magufuli

No comments: