Tuesday, November 21, 2017

21 November 2017, Trump asema korea kaskazini inafanya mambo yaliopitwa na wakati

Marekani imelitambua rasmi taifa la Korea Kaskazini kama taifa la kigaidi.

Kwa mujibu wa habari,rais Donald Trump anaamini jambo hilo lilipashwa kufanywa miaka mingi iliyopita.

Hatua hiyo itaongeza vikwazo dhidi ya Pyongyang ambayo bado iko kwenye hatua ya kutengeneza makombora ya nyuklia.

Ripoti zinaonyesha kuwa Korea Kaskazini inajiandaa kuwa na kombora litakaloweza kuiangamiza Marekani.

Kim Jong Un anaonekana kutobabaishwa na vikwazo vinavyozidi kuongezwa dhidi ya nchi yake.

No comments: