Waamerika huenda wakaandaa Pre-world Cup kwa mataifa ambayo hayakufuzu kombe la dunia
Mtandao wa ESPN umefichua kuwa Taifa la Donald Trump, USA....huenda likaandaa mechi zitazohusisha timu ambazo hazikufuzu kombe la dunia kabla ya kufanyika michuano hiyo.
Miongoni mwa tim ambazo huenda zikashiriki ni USA yenyewe, Uholanzi, Italy, Chile na Ghana
Ndo wanasema kuchanika kwa Jamvi sio mwisho wa maongezi.
No comments:
Post a Comment