Hofu kubwa yatanda kwa wakazi wa Ghuta baada ya Watu 6 kuuawa na wengine 7 kujeruhiwa katika shambulizi lililotekelezwa Ghuta Mashariki nchini Syria
Ghuta Mashariki ni miongozi mwa meaneo yalikuwa yameokolewa na mashambulizi na jeshi la Uturuki kwa ushirikiano na Urusi na Iran.
Eneo hilo liliokolewa baada ya mazungumzo ya amani yaliofanyika mjini Astana nchini Kazakhstan.
Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa ni kwamba jeshi la serikali lilishambulia kijiji hicho na kusababisha vya watu 6.
Adham Mahmud amesema kuwa shambulizi hilo limewaua watu watano na mtoto mmoja katika kijiji cha Hamuriya.
Majeruhi wa shambulizi hilo walipelekwa katika hospitali zilizoko karibu na eneo la tukio kupewa matibabu.
Uongozi wa Ghuta umesema kuwa jeshi la Assad lilijenga Jumapili eneo la Sakba , Hamuriya na Karf Batna.
No comments:
Post a Comment