Monday, August 14, 2017

14 August 2017, Waziri mkuu wa zamani Libya atekwa nyara

Waziri mkuu wa zamani nchini Libya Ali Zeidan ameripotiwa kuvamiwa na kutekwa nyara katika hoteli alimokuwa na watu waliojihami kwa silaha usiku wa Jumapili jijini Tripoli .

Zeidan alikamatwa na kuepelekwa katika eneo lisilojulikana .
Hadi kufikia sasa hamna kundi lililotangaza kuhusika na utekeji nyara huo .

Taarifa pia zafahamisha kwamba sio mara ya kwanza kwa waziri huyo wa zamani kutekwa nyara .

Alipokuwa waziri mkuu mwaaka 2013 ,Ali Zeidan aliwahi kutekwa nyara wafuasi wa chama cha mapinduzi cha Libya na kuachiliwa huru baada ya masaa kadhaa ya kushikiliwa mateka

No comments: