Monday, July 31, 2017

31 july 2017, Mafuriko yaua 3 na kuacha 140,000 bila makao Myanmar

Watu 3 wamefariki na wengine 140,000 kuachwa bila makao nchini Myanmaar baada ya mvuaa kubwa kunyesha nchini humo.

Mafuriko hayo yameripotiwa kuathiiri zaidi maeneo ya Sagaing, Magwe, Bago na Ayeyarwady .

Aidha shule 200 zimefungwa kwa muda na kuathiri takriban wanafunzi 25,000.

Taasisi ya masuala ya hali ya anga imeonya kwamba kwa bahati mbaya hali hiyo itaendelea katika siku za mbeleni kufuatia kuendelea kunyesha kwa mvua hiyo.

No comments: