Saturday, June 2, 2018

JAY MOE HIP HOP NI BIASHARA

Msanii nguli wa hip hop, Jay Moe amedai kwa sasa kuna vitu vimebadilika kutoka wa wasanii wa hip hop na kuwa biashara tofauti 

Moe anafanya vizuri na wimbo ‘Bata.amebainisha kuwa .
“Sasa hivi tunawekeza sana kwenye muziki tofauti na miaka ya zamani tunatoa wimbo tu hakuna uwekezaji wowote ambao tulikuwa tunaweka,” .

“Lakini sasa hivi au miaka ya sasa hivi muziki umekuwa biashara, kwahiyo lazima pia unavyowekeza uhakikishe uwe na target nzuri ya kuweza kujua pesa yangu itarudi vipi,”. amesema Jay Moe

No comments: