Saturday, April 21, 2018

21 APRIL 2018,JONAS MKUDE KUIKOSA LIPULI

JONAS MKUDE  AKIWA NA WACHEZAJI WENZIE
Kikosi cha  wekundu wa Msimbazi ,Simba kushuka dimbani hii leo majira ya saa 10 kamili jioni  mjini Iringa kukipiga na Lipuli  FC   Uwanja wa Samora 

Simba itakichakaza   bila kiungo wake Jonas Mkude ambaye anatumikia  adhabu ya kadi tatu za njano.

Aidha Mkude atalazimika kusubiri mechi dhidi ya watani zake wa jadi utakaopigwa Aprili 29 Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.


Pia Kiungo James Kotei ndiye atakuwa mbadala wa Mkude katika sehemu ya kiungo kutokana na kufanana aina ya mchezo wanaocheza.


No comments: