Saturday, February 24, 2018

24 February 2018,Wenger ashangazwa na kiwango cha Guardiola

Mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger haamini kwamba Pep Guardiola ameleta kiwango cha juu cha soka alipokuwa Barcelona na Manchester City.. (Guardian)

Mshambuliaji wa Real Madrid Gareth Bale, 28, amehusishwa na uhamisho wa klabu nyengine lakini mkufunzi wa klkabu hiyo Zinedine Zidane anasema mchezaji huyo wa Wales atakuwa muhimu sana katika kikosi hicho.(Sun)

Maafisa wa Manchester United wanakasirishwa na tabia ya ajenti wa kiungo wa kati Paul Pogba Mino Raiola, ambaye alimwambai mkufunzi wa klabu hiyo Jose Mourinho, kumchezesha mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24 raia wa Ufaransa. (Times - subscription required)

No comments: