Real Madrid inamchunguza winga wa Manchester City Raheem Sterling, 23, ambaye hajaanza mazungumzo rasmi ya kuongeza kandarasi mpya na klabu yake .Mkataba wa raia huyo wa Uingereza unakamilika 2020. (Mirror)
Kipa wa Spain David de Gea, 27, anatarajiwa kuandikisha kandarasi mpya na klabu ya Manchester United akiipuzilia mbali uhamisho wake kuelekea Real Madrid. (Times - subscription)
No comments:
Post a Comment