Tuesday, February 20, 2018

20 February 2018,Magaidi 1,715 Wauawa na Jeshi la Uturuki

Makao makuu ya jeshi la Uturuki yafahamisha kuwa tangu kuanza kwa operesheni yake dhidi ya ugaidi Januari 20, magaidi wapatao 1715 wamekwishauawa.

Jeshi la Uturuki lilianza operesheni yake rasmi Afrin kwa lengo la kuwaondoa magaidi wa kundi la PKK/PYD katika mpaka bain aya Uturuki na Syria.

Jeshi la Uturuki kwa ushirikiana na jeshi huru linazidi kusonga mbele Afrin katika operesheni yake dhidi ya ugaid

No comments: