Saturday, February 17, 2018

17 February 2018,Arsenal iko karibuni kuinasa saini ya Timo Werner

Arsenal ndio klabu ya hivi karibu ambayo inamnyatia mshambuliaji wa klabu ya RB Leipzig Timo Werner, 21. Raia huyo wa Ujerumani ambaye pia anasakwa na Chelsea, Liverpool na Manchester United ana thamani ya £50m na amekataa kandarasi mpya katika klabu hiyo ya Bundesliga. (Sun)

Mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger amemuorodhesha kiungo wa kati wa Lyon Nabil Fekir kuwa mchezaji anayemtaka sana .Wenger yuko tayari kutoa dau la £45m ili kumsajili mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24- (Mail)

No comments: