Friday, February 16, 2018

16 February 2018,Real Madrid kujenga rekodi mpya na Pogba

Real Madrid inamuwania mchezaji wa kiungo cha kati wa Manchester United Paul Pogba msimu huu wa joto, lakini watahitaji kutoa zaidi ya £ milioni 120 kwa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24 ambaye ndiye mchezaji aliyevunja rekodi ya usajili alipohamia Old Trafford. (Sun)

Lakini Pogba ana uwajibikaji kuondosha tofuati zozote za kimaono na meneja wa United Jose Mourinho. (Telegraph)

Jitihada za Pogba akiwa ndani ya Manchester United zimepungua baada ya kuwasili kwa mchezaji wa kiungo cha mbele wa Chile Alexis Sanchez, mwenye mri wa miaka 29, kutoka Arsenal, kwa mujibu wa aliyekuwa kapteni wa timu hiyo ya mashetani wekundu Paul Ince. (Mirror)

No comments: