Msanii wa muziki wa kizazi kipya Matonya asema kilichosimamisha muziki wake kwa muda ni biashara
Matonya amebainisha haya leo wakati akitambulisha wimbo wake mpya wa kiherehere Planet Bongo,EaradiMATNilienda kupanua wigo wa kazi zetu na ilikuwa muda muafaka kufika Kenya na kufanya biashara za kijasiliamal",.
"sikubalansi muda wangu wakati upi nafanya muziki na wakati wamambo mengine,
Pia Matonya ameeleza kuhusu show alizo zifanya Nairobi nchini Kenya kuwa anafanya show tatu kwa wiki
Show za Matonya alizozifanya Kenya zinapatikana katika ukurasa wake wa Instagram. MATONYAMBILI
No comments:
Post a Comment