Wednesday, January 24, 2018

24 January 2018,Jamii ya waislamu wa Myanmar Rohingya waendelea kupata adha baada ya kushambuliwa makazi yao kwa kuchomwa moto

Jamii ya waislamu kutomka Myanmar Rohingya yaendelea kushambuliwa  kwa mjumba yao kuchomwa moto.
 Kumekuwa na kauli tofauti kuhusu hali halisi Rakhine kuwa wakimbizi wa jamii ya Rohingya wapo katika harakati za kurejea katika makaazi yao.
Jambo la kushangaza ni kuona kuwa majumba ya waislamu wa jamii ya Rohingya  Rakhine yanachomwa moto.
Jamii ya Rohingya ilikimbilia nchini Bangladesh kutokana na  mashambulizi ya wabuddha wakishirikina na jeshi la serikali.
Taarifa zinahakikisha kuwa mashambulizi dhidi ya Rohingya bado yanaendelea.
Zaidi ya watu 690 000 kutoka jamii ya Rohingya  walikşmbilia nchini Bangladesh kunusuru maisha yao

No comments: