Monday, December 25, 2017

25 December 2017,Watu wasiopungua 12 wafariki 30 wajeruhiwa Katika maandamano mjini Jerusalem

Watu 12 wamekwishafariki na wengine zaidi ya 30 kukamatwa na jeshi la Israel katika maandamano yaliofanyika Jerusalem na maeneo mengine Palestina baada ya rais wa Marekani kutangaza kuwa mji wa Jeusalem ni mji mkuu wa Israel

Taarifa zizlitolewa na wizara ya afya ya Palestina zimefahamisha kuwa kijana mmoja mwenye umri wa miaka 19 aliepigwa na jeshi la Israel alifariki.

Kifo cha kijana huyo kimeongeza idadi ya watu waliofariki katika maandamano hayo tangu Disemba 6.

Rais wa Marekani alitangaza kuwa ubalozi wa Marekani uliopo mjini Tel Aviv utahamishiwa mjini Jerusalem katika siku za hivi karibuni.

No comments: