Thursday, December 21, 2017

21 December 2017,NEC - Mgombea ubunge Jimbo singida kaskazini kupitia tiketi ya CHADEMA hajakidhi vigezo

Mkurugenzi  wa tume ya Taifa ya Uchaguzi Ramadhan Kailima ameeleza kuwa mgombea ubunge wa CHADEMA kwenye jimbo la Singida Kaskazini wanayedai kuwa sio wa kwao kwa sababu hakupitishwa na Kamati kuu ya CHADEMA, alikidhivigezo vyote vya kupitishwa na tume kuwa mgombea.

Ameeleza kuwa kwa mujibu wa Katiba, hakuna mgombea atakayeteuliwa kwa nafasi yoyoteya ubunge isipokuwa amedhaminiwa na chama cha siasa na mgombea huyo David Djumbe amewasilisha barua iliyosainiwa na Katibu wa CHADEMA wa Wilaya

No comments: